Kesho ni YANGA vs SAFARI CHAMPIONS usikose - EDUSPORTSTZ

Latest

Kesho ni YANGA vs SAFARI CHAMPIONS usikose

 Kesho ni YANGA vs SAFARI CHAMPIONS usikose

Ni kesho YANGA vs SAFARI CHAMPIONS usikose kuitazama mechi hii live bure kwenye simu yako download app yetu itakayoonesha mechi hii live bure pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pia utaweza kutazama chanel za Azam tv bure download sasa bonyeza 👉🏻👉🏻HAPA


Vijana wa Safari Champions kesho watatimiza ndoto kwa kucheza mechi dhidi ya mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga

Safari Champions ni kikosi kilichoundwa na Safari Lager baada ya mashindano ya vijana yaliyofanyika nchi nzima

Mechi itakayopigwa saa 1 usiku itahitimisha siku ya Tamasha la burudani lililoandaliwa na safari Lager kwa kushirikiana na Yanga

Mwanamuziki mashuhuri kutoka DR Congo Koffi Olomide atatumbuiza huku Harmonize akitarajiwa kuwa miongoni mwa watumbuizaji katika Tamasha hilo

Wakati huu ambao ligi zimesimama, burudani ya soka imekuwa adimu, hii ni nafasi kwa wapenda burudani kujisogeza dimba la Mkapa kupata kile walichokosa kwa wiki kadhaa tangu ligi iliposimama 



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz