Hatutasajili kipa mpya - Simba - EDUSPORTSTZ

Latest

Hatutasajili kipa mpya - Simba

Hatutasajili kipa mpya - Simba

Ni yanga vs Safari champions usikose kuitazama mechi hii live bure kwenye simu yako pia mechi za EURO 2024 download app yetu inayorusha mechi hizi buree kabisa pia kwenye app yetu kuna muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili pia kuna chanel za Azam tv na Dstv zote unazitazama buree download sasa App yetu kuenjoy bonyeza 👉🏻👉🏻HAPA

Manula na Ayoub Lakred.

Klabu ya Simba imesema kuwa haina mpango wa kuligusa eneo la kipa kwenye dirisha la usajili msimu huu kwani makipa waliopo ni wazuri na wanatosha kuitumikia klabu hiyo.

Hayo yamesemwa na meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally wakati akizungumzia usajili mpa msimu ujao.

“Hatuna mpango wa kuongeza kipa mwingine kwa sababu wachezaji kwenye eneo la kipa hatutaligusa kabisa msimu huu hata kidogo.

“Tuna Ayoub Lakred, Aishi Manula, Ally Salim, Abel Hussein, na ferrous Telu, tuna makipa wengi na wazuri, jukumu letu ni kuendelea kuwatunza waendelee kutumikia kwa ubora wao ule ule,” amesema Ahmed Ally.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz