Hatma ya Chama ndani ya simba kujulikana wiki ijayo - EDUSPORTSTZ

Latest

Hatma ya Chama ndani ya simba kujulikana wiki ijayo

 Clatous Chota Chama.

Leo ndio siku michuano ya UEFA EURO 2024 CHAMPIONS inaanza usikose kutazama mechi zote live buree kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayoonesha mechi zote live bure kwenye simu yako pia ukiwa na app hii utaweza kutazama muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili pia utatazama chanel za Azam tv na Dstv bofya sasa

Klabu ya Simba bado ina matumaini ya kumbakisha kiungo wake Clatous Chama ambaye yuko ukingoni mwa mkataba wake na Wekundu hao wa Msimbazi

Mkataba wa Chama unamalizika Juni 29 lakini tayari Simba ilishafanya mazungumzo na kiungo huyo ambaye yuko kwao Zambia kwa ajili ya mapumziko

Mazungumzo ya awali hayakufikia mwafaka kutokana na mahitaji ya Chama na msimamo wa Simba kuhusu mkataba mpya

Simba imetuma maafisa wake nchini Zambia kukamilisha usajili wa winga wa Power Dynamos Joshua Mutale lakini pia wakiwa huko wanatarajiwa kuzungumza na Chama Simba ikiwa tayari kuboresha maslahi ya mchezaji huyo

Haya yote yanakuja siku chache baada ya Mo kutangaza kurejea rasmi ambapo sasa ni yeye mwenyewe anayesimamia michakato yote ya usajili

Chama ni miongoni mwa wachezaji waandamizi katika kikosi cha Simba. Katika misimu yote aliyoitumikia Simba, amebaki kuwa mchezaji muhimu

BONYEZA HAPA KUANGALIA VIDEO ZA WAKUBWA UJIFUNZE MAUTUNDU YA KITANDANI



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz