Dirisha la usajili limefunguliwa, Vilabu hivi vyapigwa 'Stop' kufanya usajili - EDUSPORTSTZ

Latest

Dirisha la usajili limefunguliwa, Vilabu hivi vyapigwa 'Stop' kufanya usajili

Rais wa Yanga, Injinia Hersi Said

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetoa orodha ya vilabu vya Ligi Kuu bara ambavyo vimefungiwa kusajili na Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) pamoja na TFF mpaka zitakapowalipa wachezaji

Mechi za EURO 2024 zinaendelea leo usikose kuzitazama mechi zote live bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayokuwezesha kuzitazama mechi zote live bure pia kwenye app hii kuna muvi zilizotafsiriwa pamoja na chanel za azam tv na dstv bofya sasa kudownload

Taarifa ya TFF ya leo Juni 18, 2024 imevikumbusha vilabu vyote kuwa Dirisha la usajili msimu wa 2024/2025 kwa Klabu za Ligi Kuu ya NBC (NBCPL), NBC Championship (NBCCL), First League (FL) na Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) limefunguliwa Juni 15, 2024 lakini vilabu ya Young Africans, Singida Fountain Gate FC, Tabora United FC, Biashara United FC na FGA Talents FC vimefungiwa KUSAJILI

“Klabu ambayo itawalipa wahusika, itaondolewa mara moja adhabu ya kufungiwa kusajili. Hadi leo asubuhi kupitia mfumo wa FIFA (FIFA legal portal) hakuna taarifa ya klabu yoyote kati ya hizo iliyowalipa wahusika.” — TFF



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz