BREAKING: Simba watangaza kumuongezea mkataba Mzamiru - EDUSPORTSTZ

Latest

BREAKING: Simba watangaza kumuongezea mkataba Mzamiru

BREAKING: Simba watangaza kumuongezea mkataba Mzamiru

Mechi za EURO 2024 zinaendelea leo usikose kuzitazama mechi zote live bure kwenye simu yako download app yetu kuzitazama pia ndani ya app yetu kuna muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pia zipo chanel za Azam tv na Dstv zote utazitazama bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻👉🏻HAPA

BREAKING: Simba watangaza kumuongezea mkataba Mzamiru

Wekundu wa Msimbazi Simba SC, wametangaza kumuongezea mkataba mpya kiungo wao mkabaji Mzamiru Yassin.

Kupitia ukurasa wao wa Instagram, Simba wamemtangaza mchana huu kwa kuwqeka picha yake na kusindikiza na ujumbe uliosomeka hivi.

"Mzamiru Yassin amesaini mkataba mpya kuendelea kusalia katika kikosi chetu."

Picha hiyo inaonesha Mzamiru ataendelea kuwepo Simba mpaka mwaka 2026 hivyo wamemuongezea mkataba wa miaka 2.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz