Yanga yawapa pole Simba kuondolewa na Al Ahly - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yawapa pole Simba kuondolewa na Al Ahly

 Simba, YANGA

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Timu ya Yanga SC imempa pole mtani wake wake wa jadi Simba SC baada ya kutolewa na Al Ahly ya nchini #Misri kwenye mashindano ya AFL.

Yanga imetoa pole hizo kupitia #comments katika chapisho la timu Simba SC, ikiandika kuwa "Pole sana mtani, hata sisi tulikosa Ubingwa wa Afrika kwa kanuni hiyohiyo".




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz