Viingilio mechi ya Yanga vs Singida FC - EDUSPORTSTZ

Latest

Viingilio mechi ya Yanga vs Singida FC

 Rais Filipe Nyusi.

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Viingilio vya mchezo wa Yanga ujao wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Fountain Gate utakaochezwa Ijumaa kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, vimetajwa.

Mchezo huo ambao unatarajiwa kuanza majira ya saa 12:15 jioni, viingilio vyake vimewekwa katika madaraja matano ili kutoa fursa kwa mashabiki wote kila mmoja kuja uwanjani kushuhudia burudani.

Viingilio hivyo ni; V.I.P A Tsh 20,000 V.I.P B Tsh 15,000 V.I.P C Tsh 10,000 Machungwa Tsh 7,000 Mzunguko Tsh 5,000.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz