Tanzania yaichapa Djibout jumla ya magoli 12-0 kufuzu Kombe la Dunia - EDUSPORTSTZ

Latest

Tanzania yaichapa Djibout jumla ya magoli 12-0 kufuzu Kombe la Dunia

 Tanzania yaichapa Djibout goli 12-0 kufuzu Kombe la Dunia

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Timu ya Taifa Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' imeifunga Djibouti mabao 7-0 katika mechi ya pili baada ya kwanza kushinda 5-0 na kufanya jumla ya mabao kuwa 12-0 mechi ya kufuzu kucheza fainali Kombe la Dunia Colombia mwakani.


Timu ya Taifa Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' imeifunga Djibouti mabao 7-0 katika mechi ya pili baada ya kwanza kushinda 5-0 na kufanya jumla ya mabao kuwa 12-0 mechi ya kufuzu kucheza fainali Kombe la Dunia Colombia mwakani. Mechi hizo zimepigwa zote katika Uwanja wa Azam Complex, Dar (Oktoba 8 na 11)ambapo sasa Tanzanite imepenya itavaana na Nigeria raundi ya tatu.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz