Simba wakomaa na Yahya Mbegu - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba wakomaa na Yahya Mbegu

Simba wakomaa na Yahya Mbegu

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Taarifa kutoka ndani ya Klabu ya Simba zinasema kuwa, viongozi wa timu hiyo bado wanaendelea kufuatilia kwa karibu Kiwango cha Yahya Mbegu wa Singida Fountain Gates.


Ikumbukwe kuwa Simba hapo awali walikuwa wakihitaji huduma ya beki huyo wakushoto lakini Yeye aliamua Kujiunga na Singida Fountain Gate mwanzoni mwa msimu huu.


Mbegu anatazamiwa kwenda Simba kuwa msaidizi wa Mohammed Hussein 'Tshabalala' kwenye safu ya ulinzi hususan beki wa kushoto.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz