Simba kuwafuata Al Ahly leo - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba kuwafuata Al Ahly leo

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 
Kikosi cha Simba kitaondoka nchini jioni ya leo kuelekea Misri kwa ajili ya mchezo wa marudiano African Football League dhidi ya Al Ahly


Mchezo huo wa kuamua timu ya kutinga nusu fainali utapigwa Jumanne, Oktoba 24 huko Misri


Simba inakwenda Misri ikiwa na lengo moja, kusaka matokeo muhimu yatakayowavusha nusu fainali baada ya mchezo wa mkondo wa kwanza kumalizika kwa matokeo ya sare ya mabao 2-2



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz