Sakho azichapa na kocha wake - EDUSPORTSTZ

Latest

Sakho azichapa na kocha wake

Sakho azichapa na kocha wake

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Beki wa zamani wa Liverpool, Mamadou Sakho na Kocha mkuu wa klabu yake ya Montpelier, Michel Der Zakarian wamezichapa katika uwanja wa mazoezi wa klabu hiyo ya Ligi kuu Ufaransa baada ya kuitwa “mtoto wa kulia lia.”


Inaelezwa wawili hao walipishana kauli uwanjani na kuendelea kubishana kwenye chumba cha kubadilishia nguo.


Sakho alipatwa na ghadhabu baada ya kuitwa 'cry-baby' hali iliyopelekea nyota huyo wa zamani wa PSG kumkwida kocha huyo na kumtupa chini.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz