Pablo Franco kutua tena Tanzania, anaelekea wapi ? - EDUSPORTSTZ

Latest

Pablo Franco kutua tena Tanzania, anaelekea wapi ?


 Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Taarifa kutoka Afrika Kusini zimethibisha kuwa Aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa klab ya Simba Pablo Franco Martin ameandika barua ya kuomba kuachana na waajiri wake Klab ya Amazulu inayoshiriki ligi kuu ya Afrika kusini.


Taarifa hizo zinathibitisha kuwa kocha Pablo Franco Martin yupo katika hatua za Mwisho kujiunga na Walima Alizeti 'Singida Big stars',


Huku ikifahamika kuwa Mshahara Mnono aliowekewa na klab ya Singida ni moja kati vishawishi kwake kocha huyo wa zamani wa Simba Sc,


Mpaka kufikia Jumanne Pablo atakuwa Tanzania kutambulishwa na Matajiri kutoka Singida.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz