Kocha Nabi, Morrison waaga FAR Rabat - EDUSPORTSTZ

Latest

Kocha Nabi, Morrison waaga FAR Rabat

 Kocha Nabi.

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Miamba ya Morocco, FAR Rabat inayonolewa na aliyekuwa Kocha wa Yanga SC, Nasreddine Nabi imeaga mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia kipigo cha jumla cha 3-1 dhidi ya Etoile Sahel ya Tunisia.


FT: FAR Rabat 1-2 Etoile Sahel (Agg. 1-3)


Red card: Marour18


⚽️Zouhzouh 90+4'


⚽️Naouali 20


⚽️Aouani 64'


Winga wa zamani wa Yanga SC na Simba SC Bernard Morrison alianza kwenye mchezo huo.


Nabi ameaga mashindano ya CAFCL kikatili baada ya mchezaji wake Zouhair Marour kula umeme dakika ya 18 tu.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz