BREAKING: Cedric Kaze ajiuzulu Namungo FCBREAKING: Cedric Kaze ajiuzulu Namungo FC - EDUSPORTSTZ

Latest

BREAKING: Cedric Kaze ajiuzulu Namungo FCBREAKING: Cedric Kaze ajiuzulu Namungo FC

 Cedric Kaze ajiuzulu Namungo FC

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Aliyekuwa Kocha wa Namungo FC, Cedric Kaze leo ametangaza kung’atuka kwenye nafasi hiyo akitoa taarifa kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram.


Kaze ameandika “leo nimeamua kujiuzulu kama Kocha Mkuu wa Namungo, ningependa kutumia fursa hii kuushukuru uongozi, watendaji wenzangu wa benchi la ufundi na wachezaji kwa ushirikiano na kujitoa kwao”


Kaze pia amewashukuru mashabiki wa timu hiyo kwa ushirikiano wao.


Kaze hakuwa na matokeo mazuri kwenye mechi sita alizocheza ambapo jana alipoteza kwa mara nyingine baada ya kupokea kichapo kutoka kwa Singida FG.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz