Al Ahly watua usiku tayari kuikabili Simba AFL - EDUSPORTSTZ

Latest

Al Ahly watua usiku tayari kuikabili Simba AFL

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa African Football League, Al Ahly wamewasili nchini usiku wa kuamkia leo kuelekea mtanange huo wa kukata na shoka ambao utapigwa kesho Ijumaa katika uwanja wa Benjamin Mkapa


Wakati Al Ahly wakitua, kikosi cha Simba kinaendelea na maandalizi yake Mo Simba Arena kuelekea mchezo huo


Leo majira ya saa 10:15 jioni Simba itafanya mazoezi ya mwisho kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa ambao umefanyiwa ukarabati mkubwa


Wapinzani wao Al Ahly watafanya mazoezi dimba la Mkapa saa 12, muda ambao mchezo huo utapigwa


Wageni kutoka mataifa mbalimbali wameendelewa kuwasili nchini kushuhudia historia ikiandikwa katika uzinduzi wa African Football League



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz