Ahmed Ally awazodoa Yanga kuchapwa 2-1 na Ihefu - EDUSPORTSTZ

Latest

Ahmed Ally awazodoa Yanga kuchapwa 2-1 na Ihefu

 Ahmed Ally awazodoa Yanga kuchapwa 2-1 na Ihefu

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ameandika...


"Walikua wanalilia tuwaoneshe goli letu lililotupeleka Makundi, sasa tuwaambie tuu goli lililotupeleka makundi limefungwa na mchezaji wetu kipenzi wa zamani Charles Ilanfya! Enhee kuna swali jingine??!"


Hiyo ni baada ya Yanga SC kupoteza kwa 2-0 dhidi ya Ihefu FC hapo jana Oktoba 4, 2023 na goli la ushindi likiwekwa kimiani na Charles Ilanfya.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz