Yanga waja na Ki Day, mashabiki kuvaa bukta na kushika funguo uwanjani VIDEO - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga waja na Ki Day, mashabiki kuvaa bukta na kushika funguo uwanjani VIDEO

 Yanga waja na Ki Day, mashabiki kuvaa bukta na kushika funguo uwanjani

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Afisa Habari wa Yanga SC, Ally Kamwe amesema mchezo wao wa marejeano dhidi ya Al Merekh ya Sudan siku ya Jumamosi Septemba 30, 2023, wameupa jina la Ki Day.


Akizungumzia maandalizi ya mchezo huo hii leo Septemba 26, 2023, Kamwe aliwataka mashabiki kuja kimtoko wa Aziz Ki katika uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar kuishangilia timu yao.


"Hii itakuwa ni Ki Day, siku hiyo naomba mashabiki wote tuvae bukta sasa mtasema sijui sina mguu wa kuvaa bukta hapana kila mtu anao mguu wa kuvaa bukta.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz