Yanga vs Namungo Fc ni September 20 - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga vs Namungo Fc ni September 20


 Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


Bodi ya Ligi Kuu imeupangia tarehe mchezo dhidi Namungo Fc ambao ulisogezwa mbele kupisha kalenda ya mashindano ya CAF na FIFA


Kulingana na taarifa iliyotolewa na TFF mapema leo, mchezo huo utapigwa Septemba 20 katika uwanja wa Azam Complex


Hata hivyo tarehe hiyo inaweza kubadilika kama CAF itathibitisha uwepo wa mechi za mashindano ya CHAN yanayohusisha wachezaji wa ndani


Kulingana na kalenda ya CAF, mechi hizo zinapaswa kuanza mwishoni mwa mwezi Septemba 2023


Bodi pia imeipangia tarehe michezo mingine ambayo pia ilisogezwa mbele



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz