Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Klabu ya Al Merreikh imekubali kichapo cha goli 3-1 katika mchezo wa kirafiki hii leo dhidi ya Gorrila fC ya nchini Rwanda iliyo katika nafasi ya 11 ya msimamo wa Ligi kuu nchini Rwanda huku ikiwa haijapata ushindi wowote kwenye Ligi huku ikiambulia sare pekee.
Klabu ya Al Merreikh imekubali kichapo cha goli 3-1 katika mchezo wa kirafiki hii leo dhidi ya Gorrila fC ya nchini Rwanda iliyo katika nafasi ya 11 ya msimamo wa Ligi kuu nchini Rwanda huku ikiwa haijapata ushindi wowote kwenye Ligi huku ikiambulia sare pekee. Al Merreikh watacheza mchezo wao wa kutafuta tiketi ya kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya mabingwa Barani Afrika dhidi ya Yanga Jijini Kigali nchini Rwanda Septemba 16.
Post a Comment