Taarifa Mpya kutoka CAF - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa Mpya kutoka CAF

 

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Rasmi Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limepitisha mataifa ya Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa michuano ya Afcon 2027


Nchi hizo ziliwasilisha ombi walilobatiza jina la Pamoja Bid na itakuwa mara ya kwanza ukanda wa Afrika Mashariki kuandaa michuano hiyo mikubwa ya soka Afrika


Kamati ya Utendaji CAF imetangaza uamuzi huo nchini Misri leo, pia Morocco imechanguliwa kuandaa Afcon 2025


Kwa kuandaa michuano hiyo maana yake ni kuwa Tanzania, Kenya na Uganda zimejihakikishia tiketi ya kushiriki michuano hiyo na jukumu la Mataifa hayo ni kuhakikisha wanaandaa vyema timu zao ili kuhakikisha kombe la Afcon 2027 linabaki Afrika Mashariki



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz