Simba yaipiga Cosmopolitan Fv 5-0 - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba yaipiga Cosmopolitan Fv 5-0


 Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


Klabu ya Simba leo imecheza mechi ya kirafiki dhidi ya Cosmopolitan FC katika uwanja wake wa Mo Simba Arena uliopo Bunju nje kidogo ya jiji la Dar es saalam


Matokeo ya mchezo huo ni kuwa Simba imeibuka na ushindi wa mabao 5-1. Mabao ya Simba yalifungwa na Moses Phiri, Jean Baleke, Willy Onana, Aubin Kramo na Shaban Idd Chilunda


Huo ni mchezo wa pili wa kirafiki kwa Simba katika kipindi cha siku nne. Siku ya Jumamosi Simba iliichapa Kipanga Fc mabao 3-0 katika mchezo mwingine wa kirafiki yakiwa ni maandalizi kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa dhidi ya Power Dynamos



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz