Matokeo Simba vs Kipanga Fc mechi ya kirafiki leo - EDUSPORTSTZ

Latest

Matokeo Simba vs Kipanga Fc mechi ya kirafiki leo


Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Leo katika uwanja wa Mo Simba Arena ulioko Bunju nje ya kidogo ya jiji la Dar es salaam, klabu ya Simba ilicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Kipanga Fc kutoka visiwani Zanzibar


Wekundu wa Msimbazi wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo huo uliopigwa asubuhi


Wafungaji wa mabao hayo ni Moses Phiri, Aubin Kramo na Luis Miquissone


Katika mchezo huo kipa mpya wa Simba Ayoub Lakred aliingia dakika ya 41 kuchukua nafasi ya Ally Salim


Ni sehemu ya maandalizi ya kikosi cha Simba kuelekea mchezo wa ligi ya mabingwa kuwania tiketi ya kutinga hatua ya makundi dhidi ya Power Dynamos ya Zambia



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz