Ligi kuu NBC kurejea Ijumaa hii - EDUSPORTSTZ

Latest

Ligi kuu NBC kurejea Ijumaa hii

 

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Baada ya mapumziko ya takribani wiki moja, ligi kuu ya NBC inarejea siku ya Ijumaa ambapo mechi za mzunguuko wa nne zitaanza kutimua vumbi


Maafande wa JKT Tanzania watakuwa nyumbani kuumana na Kagera Sugar katika uwanja wa CCM Kambarage mkoani Shinyanga wakati Coastal Union itakuwa nyumbani kucheza mechi yake ya kwanza huko Tanga katika uwanja wa Mkwakwani dhidi ya Tabora United


Ligi hiyo itaendelea tena siku ya Jumamosi kwa mechi nyingine mbili kupigwa



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz