Yanga Princess yauza wawili Ulaya - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga Princess yauza wawili Ulaya

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Juzi Yanga Princess ilitangaza kumuuza mshambuliaji wake ambaye pia huitumikia timu ya taifa ya vijana ya wanawake Tanzania, Clara Cletus Luvanga kujiunga na Dux Logrono ya Hispania 


Luvanga alijiunga na timu hiyo inayoshiriki ligi daraja la kwanza la Wanawake Hispania kwa mkataba wa miaka mitatu 


Leo Yanga Princess imetangaza kumuuza mshambuliaji Blessing Nkor raia wa Nigeria akijiunga na klabu ya Dogus Gold Asyapor ya Uturuki


Nkor alikuwa mshambuliaji kiongozi katika safu ya ushambuliaji ya Yanga Princess msimu uliopita


Katika kipindi cha miaka miwili, Yanga Princess imeuza wachezaji watatu barani Ulaya. Mchezaji wa kwanza alikuwa Aisha Masaka aliyesajiliwa na BK Hacken ya Sweden



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz