Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
kesho Jumanne, August 29 2023 Yanga itashuka uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es salaam kumenyana na JKT Tanzania katika mchezo wa ligi kuu ya NBC
Mchezo muhimu kwa Yanga kwani matokeo ya ushindi yanaweza kuwahakikishia kupanda kileleni mwa msimamo wa ligi
Viingilio vya mchezo huo VIP A ni Tsh 20,000/-, VIP B ni Tsh 10,000/- na Mzunguuko ni Tsh 5,000/-
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily Updates
CLICK HERE
No comments:
Post a Comment