Taarifa Mpya kuhusu Khalid Aucho kuhusu mechi ya kesho kutwa - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa Mpya kuhusu Khalid Aucho kuhusu mechi ya kesho kutwa

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Unaweza kusema kiungo Khalid Aucho ameanza na gia kubwa msimu huu. Kiungo huyo wa Kimataifa kutoka Uganda alin'gara katika kikosi cha Yanga kwenye mechi mbili za Ngao ya Jamii mkoani Tanga


Msimu uliopita alikuwa chaguo la kwanza kwa Kocha Nasreddine Nabi katika eneo la kiungo na mapema tu msimu huu amekuwa chaguo la kwanza kwa Miguel Gamondi


Pamoja na ubora wa wachezaji waliosajiliwa na Yanga katika eneo la kiungo, Aucho ameendelea kuwa na 'kiti cha kudumu' katika kikosi cha kwanza


Habari njema ni kuwa adhabu yake ya kufungiwa mechi mbili na CAF ilimalizika baada ya kukosa mechi zote za fainali kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya USM Alger msimu uliopita


Hakuna shaka Jumapili atakuwepo uwanja wa Azam Complex katika mchezo wa mkondo wa kwanza hatua ya awali ligi ya mabingwa dhidi ya ASAS Fc



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz