Simba mbioni kumaliza a na golikipa kutoka As FAR Rabat - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba mbioni kumaliza a na golikipa kutoka As FAR Rabat

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya Simba inatarajiwa kusajili mlinda lango mwingine kwa kuzingatia ukubwa wa mashindano ambayo watashiriki msimu huu


Simba itacheza michuano mikubwa miwili barani Afrika ambayo ni Ligi ya Mabingwa na African Football league mashindano yatakayofanyika kuanzia Oktoba 20 mpaka Novemba 08


Mwekezaji wa klabu ya Simba Bilionea Mohammed Dewji 'Mo' amesema pamoja na kuimarika kwa Ally Salim wakati huu Aishi Manula (TZ 1) akiwa ni majeruhi, kuna ulazima wa kuongeza golikipa mwingine licha ya kukamilisha usajili wa Charles Abel kutoka KMC


Simba inahusishwa na mlinda lango wa AS FAR Rabat, Ayoub Lakred ambaye anatajwa kuwa mbioni kumalizana na wababe hao wa soka ukanda wa Afrika Mashariki na kati



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz