Simba kumtema mwingine baada ya kuonesha kiwango duni - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba kumtema mwingine baada ya kuonesha kiwango duni

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Winga wa klabu ya Simba Aubin kramo huenda akatoka kwa Mkopo na kurejea kwao Ivory Coast.


Kramo tangu ajiunge na klabu ya Simba amekuwa na wakati mgumu wa kupata nafasi ya kucheza mbele ya mawinga wenzake ambao ni Machaguo ya Mwalimu Mkuu wa klabu hiyo Kibu Denis na Willy onana.


Simba SC walimsajili Aubin Kramo akitoka ndani ya klabu ya Asec Mimosas na sasa anatajwa huenda akajiunga na klab hiyo hiyo kwa mkopo wa msimu mzima.


Kramo tangu ajiunga na klab ya Simba muda mwingi amekuwa nje ya kikosi huku sababu zikidai ni kuwa na majeruhi kwa vipindi tofauti tofauti.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz