Simba kumpa mkono wa kwaheri Banda - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba kumpa mkono wa kwaheri Banda

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Mashabiki wa Simba wasitarajie kumshuhudia winga Peter Banda akiendelea kuwatumikia mabingwa hao wa Ngao ya Jamii


Simba inatarajiwa kumruhusu mchezaji huyo kwenda kusaka changamoto sehemu nyingine


Ni baada ya kukamilisha usajili wa mlinda lango Ayoub Lakred kutoka klabu ya FAR Rabbat ya Morocco


Simba inapaswa kuengua jina la mchezaji mmoja ili kusalia na wachezaji 12 ili kukidhi kanuni za shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

Dirisha la usajili la ndani pamoja na lile la CAF yote yatafungwa August 31


Banda huenda akatimkia Ufaransa kuungana na Pape Ousmane Sakho ambaye Simba ilimuuza klabu ya Union Sportive Quevillaise-Rouen Metropol inayoshiriki ligi daraja la kwanza



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz