Rais Samia mgeni rasmi Simba Day - EDUSPORTSTZ

Latest

Rais Samia mgeni rasmi Simba Day

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye siku muhimu kwa Klabu ya Simba (Simba Day) itakayofanyika Jumapili, Agosti 6, 2023.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye siku muhimu kwa Klabu ya Simba (Simba Day) itakayofanyika Jumapili, Agosti 6, 2023. Klabu ya Simba imemshukuru Dkt Samia kwa mchango wake mkubwa kwenye sekta ya Michezo na Maendeleo ya Taifa kwa ujumla na kumkaribisha kwenye tukio hilo muhimu kwa wapenda michezo wote nchini Tanzania.

Kumbuka sherehe zote zitakuwa mubashara kwenye app yetu Bure bofya hapa kuipakua sasa ili usipitwe



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz