Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Kwa sasa habari ya Mjini ni Tamasha kubwa la Michezo Simba Day ambalo litafanyika kesho Jumapili katika uwanja wa Benjamin Mkapa
Shamrashamra zitaanza saa 5 asubuhi na kuhitimishwa kwa mchezo wa kukata na shoka kati ya Simba dhidi ya Power Dynamos ya Zambia majira ya saa 1 usiku
Wanasimba wameweka rekodi kwa kuzinunua tiketi zote za Tamasha siku tatu kabla
Kwa wale ambao wamekosa tiketi wataishuhudia Simba Day kupitia Azam TV
Mwamba wa Umalila, Baraka Mpenja atautangaza mchezo kupitia Azam TV majira ya saa 1 usiku pia Mechi itakuwa live kwenye App yetu Bure kabisa bofya hapa kuidownload
Post a Comment