MATOKEO Simba vs Singida Fountain Gate Leo 10 August 2023 - EDUSPORTSTZ

Latest

MATOKEO Simba vs Singida Fountain Gate Leo 10 August 2023



Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


Simba imetinga fainali ya Ngao ya Jamii baada ya ushindi wa mikwaju ya penati 4-2 dhidi ya Singida FG katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa uwanja wa Mkwakwani


Dakika 90 za mchezo huo zilimalizika kwa matokeo ya suluhu ya bila kufungana hivyo mshindi kuamuliwa kwa mikwaju ya penati


Luis Miquissone, Saido Ntibazonkiza, Mzamiru Yassin na Moses Phiri walifunga penati za Simba wakati Tchakei na Abuya walifunga kwa upande wa Singida FG huku Aziz Andambwile na Yusufu Kagoma wakikosa kwa upande wa Singida FG


Ni rasmi sasa Simba itachauana na Yanga kwenye mchezo wa fainali siku ya Jumapili wakati Azam Fc watachuana na Singida FG katika mchezo wa kusaka mshindi wa tatu

 
Usikose Kuitazama mechi zote hizi LIVE Kiganjani Mwako kupitia App Yetu BUREEE kabisa BOFYA HAPA Kudownload ili uweze Kutazama Mubashara Kiganjani Mwako Popote Duniani, 


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz