Kitayosce yafungiwa kusajili na FIFA - EDUSPORTSTZ

Latest

Kitayosce yafungiwa kusajili na FIFA

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Klabu ya Kitayosce Fc (Tabora United) imefungiwa kusajili katika dirisha hili la usajili mpaka pale itakapowalipa wachezaji wenye madai dhidi ya klabu hiyo ambao walishinda kesi walizofungua FIFA


Taarifa iliyotolewa na TFF mapema leo, imebainisha kuwa timu hiyo inapaswa kuwalipa wachezaji wake watatu walioshinda kesi huko FIFA


TFF pia imeifungia Kitayosce kufanya usajili wa ndani mpaka itakapomalizana na wachezaji hao

Kitayosce yafungiwa kusajili na FIFA


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz