Leo Jumapili, August 20 katika uwanja wa Uhuru, kikosi cha Simba kitashuka dimbani kumenyana na Dodoma Jiji katika mchezo wa ligi kuu ya NBC, mzunguuko wa pili
- Ally Salim
- Shomari Kapombe
- Mohammed Hussein
- Che MALONE
- Kennedy Juma
- Fabrice Ngoma
- Mzamiru Yassin
- Saido
- Jean Baleke
- Essomba Onana
- Clatous Chama
SUBS
Hussein Abel
Israel Mwenda
Hussein Kazi
Abdallah Hamis
Sadio Kanoute
Luis Micquisson
Kibu Denis
John Bocco
Moses Phiri
Mchezo huo utapigwa saa 10 jioni Simba ikitumia uwanja wa Uhuru katika mechi zake wakati huu uwanja wa Benjamin Mkapa ukiwa umefungwa kwa ajili ya ukarabati.
Mechi itakuwa live kwenye app yetu kama bado hujaipakua BOFYA HAPA
Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA
Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA
Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA
Post a Comment