Kiba sio wa kuimba kwenye fungulia mbwa - Ahmed Ally - EDUSPORTSTZ

Latest

Kiba sio wa kuimba kwenye fungulia mbwa - Ahmed Ally

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Afisa Habari wa Klabu ya Simba SC, Ahmed Ally ameandika..


"Hadhi na Heshima ya King Ally Kiba sio kuimba kwenye tamasha la fungulia mbwa, King anatakiwa kuimba kwenye Tamasha lililojaa watu tena walioingia kwa kiiingilio chao hapo tunazungumzia Simba Day."


Kiba ambaye infahamika alikuwa shabiki wa Yanga SC, ametambulishwa rasmi kujiunga kuwa shabiki wa Simba na atapafomu kwenye tamasha la Simba Day, Agosti 6, 2023.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz