JKT Queens yasaka taji la CECAFA Uganda - EDUSPORTSTZ

Latest

JKT Queens yasaka taji la CECAFA Uganda

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Fainali ya michuano ya kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa wa Afrika kwa Wanawake Kanda ya (CECAFA), itachezwa leo katika Uwanja wa Njeru, Uganda kati ya JKT Queens wanaoiwakilisha Tanzania dhidi ya C.B.E ya Ethiopia


JKT Queens ilikata tiketi ya kwenda fainali baada ya kuichapa Buja Queens ya Burundi mabao 3-1 na kuendeleza rekodi yao nzuri katika michuano hiyo iliyofanyika Uganda huku C.B.E ikitinga fainali kwa kuichapa Vihiga Queens ya Kenya mabao 2-1


Hii inakuwa mara ya kwanza kwa JKT Queens kushiriki michuano hiyo tangu kuanzishwa mwaka 2021 lakini Tanzania ikiwa mzoefu baada ya mwaka jana Simba Queens kubeba ubingwa huo kwa kuichapa She Cooperate ya Uganda bao 1-0 kwenye fainali



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz