Ibrahim Ajib Atua Coastal Union - EDUSPORTSTZ

Latest

Ibrahim Ajib Atua Coastal Union

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya Coastal Union imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Ibrahim Ajibu aliyekuwa akiitumikia Singida FG


Ajibu ametua Coastal Union akiwa mchezaji huru baada ya mkataba wake wa mwanza mmoja na Singida FG kumalizika


Ameungana na aliyekuwa Kocha wake wakati yuko Yanga Mwinyi Zahera ambaye sasa ni Kocha wa Coastal Union


Zahera ndiye aliyependekeza usajili wa Ajibu akimtaja kama mchezaji mwenye kipaji zaidi nchini



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz