Chama ndo hivo Tena, kuikosa mechi ya Singida FG - EDUSPORTSTZ

Latest

Chama ndo hivo Tena, kuikosa mechi ya Singida FG

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Kiungo mshambuliaji wa Simba Clatous Chama anatarajiwa kukosa mchezo wa nusu fainali wa Ngao ya Jamii dhidi ya Singida FG


Mchezo huo utapigwa Alhamisi, August 10 katika uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga


Chama anatumikia adhabu ya kukosa mechi tatu baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu katika mchezo wa ligi kuu dhidi ya Ruvu Shooting msimu uliopita


Chama alikosa mechi dhidi ya Polisi Tanzania na Coastal Union katika msimu uliopita na mechi ya nusu fainali dhidi ya Singida FG itakuwa ya mwisho


Licha ya kumkosa Chama, kocha Mkuu wa Simba Robertinho Oliveira hatakuwa na hofu yoyote kwani ana kikosi kipana chenye wachezaji bora zaidi ya mmoja katika kila nafasi


Luis Miquissone, Aubin Kramo, Willy Onana wote wanaweza kutumika katika nafasi ambayo hucheza Chama



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz