Bodi ya ligi yaigomea Simba kwenye Jambo hili - EDUSPORTSTZ

Latest

Bodi ya ligi yaigomea Simba kwenye Jambo hili

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Bodi ya Ligi imeweka ngumu Simba kucheza mechi nyingine ya ligi kuu wiki hii na hivyo Wanasimba watakaa takribani mwezi mmoja bila ya kuishuhudia tena timu yao ikicheza mechi la ligi kuu


Ni ratiba ambayo haijamfurahisha Kocha Robertinho Oliveira ambaye kikosi chake kilikuwa imeanza kupata muunganiko baada ya kucheza mechi mfululizo


Simba inatarajiwa kuwapa mapumziko ya siku chache wachezaji ambao hawatakuwa na majukumu katika timu za Taifa


Wekundu wa Msimbazi wataanza maandalizi ya mchezo wa raundi ya kwanza ligi ya mabingwa barani Afrika wakitarajiwa kucheza na mshindi wa mchezo kati ya Power Dynamos (Zambia) dhidi ya Afican Stars ya Namibia

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

African Stars walishinda mabao 2-1 katika mchezo wa mkondo wa kwanza, timu hizo zitarudiana nchini Zambia mwishoni mwa wiki


Mchezo wa mkondo wa kwanza, raundi ya kwanza utapigwa Septemba 15 Simba ikianzia ugenini na kumalizia mchezo wa pili nyumbani wiki moja baadae



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz