Bangala kuwakosa Yanga Jumatano - EDUSPORTSTZ

Latest

Bangala kuwakosa Yanga Jumatano

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Taarifa tulizozipata kutoka ndani ya Klabu ya Azam ni zinaeleza kuwa kiungo wao mpya, Yanick Litombo Bangala amepatwa na majeraha wakati akiwa kwenye mazoezi na timu yake hiyo.


Inaelezwa kwamba, kutokana na majeraha hayo, Bangala anaweza kuwakosa waajiri wake za zamani Yanga Sc katika mchezo wa Ngao ya Jamii, Mkwakwani Tanga.


Ikumbukwe kiwa, Yanga na Azam FC wanatarajiwa kukutana Jumatano, Agosti 9, 2023, zikiwa zimesalia siku nne pekee.


Bangala amejiunga na Azam FC hivi karibuni akitokea Yanga mara baada ya ya Wananchi kumuuza kwa wauza Ukwaju hao wa Mbagala.


Chanzo: Mwanaspoti



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz