Anayekutana na Simba Ligi ya Mabingwa kujulikana leo - EDUSPORTSTZ

Latest

Anayekutana na Simba Ligi ya Mabingwa kujulikana leo

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Mchezo wa mkondo wa pili hatua ya awali ligi ya mabingwa barani Afrika kati ya Power Dynamos ya Zambia dhidi ya African Stars ya Namibia unapigwa leo huko Zambia


African Stars walishinda mabao 2-1 katika mchezo wa kwanza lakini Power Dynamos wanaweza kupindua matokeo leo wakihitaji ushindi wa bao 1-0 tu nyumbani


Timu itakayoshinda na kuvuka hatua hii ya awali itachuana na Simba kwenye mchezo wa raundi ya kwanza


Mnyama ataanzia ugenini iwe Namibia au Zambia na kisha kumalizia nyumbani katika uwanja wa Benjamin Mkapa/Azam Complex


Mchezo wa raundi ya kwanza utapigwa Septemba 15 na mchezo wa marudiano kupigwa Septemba 29



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz