Alicho kisema Ahmed Ally baada ya Yanga kuipa kichapo Cha goli 5 Kmc - EDUSPORTSTZ

Latest

Alicho kisema Ahmed Ally baada ya Yanga kuipa kichapo Cha goli 5 Kmc

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Baada ya Yanga kuanza msimu wa Ligi kwa kutoa kipigo kizito cha mabao 5-0 dhidi ya KMC.


Mashabiki wa Yanga kila mahali wanatembea kifua mbele wakijinasibu kwa ushindi huo mnono na soka tamu la kuvutia.


Sasa katikati ya furaha ya Mashabiki wa Yanga, ameibuka msemaji wa Simba SC Ahmed Ally na kutoa kauli ambayo inaonekana ni kijembe kwenda kwa mtani.


Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ahmed ameandika;


" Kila mtu ana kibonde wake wa kumfunga goli 5"


Kauli hiyo inaonekana kuilenga Yanga ambapo walishawahi kupokea kipigo cha mabao 5-0 kutoka kwa Simba SC.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz