Yanga yapokea Milioni 405 bonas SportPesa - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yapokea Milioni 405 bonas SportPesa

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya Yanga imekabidhiwa bonas ya Tsh Milioni 405 na kampuni ya SportPesa baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC, Kombe la FA na Ngao ya Jamii


Bonas hiyo ni sehemu ya makubaliano ya mkataba wa Udhamini ambao bonas hiyo inatolewa pale Yanga inapotwaa ubingwa au inapofanya vizuri katika michuano ya Kimataifa


"Tunawapongeza Yanga kwa mafanikio waliyopata msimu uliopita. Sisi tunajivunia kuwa Wadhamini wao kwani wametutangaza vizuri"


"Leo tunajisikia fahari kuikabidhi Yanga Tsh Milioni 405 kama asante kwa mafanikio makubwa waliyopata msimu uliopita ambao walishinda mataji yote"


"Naamini kwa kuangalia mipango yao, msimu huu wanaweza kupata mafanikio makubwa zaidi," alisema Abbas Tarimba Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya SportPesa



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz