Yanga yamalizana na zougrana kutoka Asec Mimosas - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yamalizana na zougrana kutoka Asec Mimosas

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya Yanga SC imefikia makubaliano na upande wa mchezaji Mohammed Zougrana raia wa Ivory Coast baada ya kukamilika kwa mazungumzo na klabu yake ya Asec Mimosas


Taarifa kutoka ndani ya Yanga zinaeleza kuwa, Mohammed Zougrana mwenye umri wa miaka 20 amekubali kujiunga na klabu ya Yanga SC.


Hata hivyo, uongozi wa Yanga upo tayari kukamilisha usajili huu kwa gharama yeyote.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz