Winga Asec Mimosas ni suala la muda Msimbazi - EDUSPORTSTZ

Latest

Winga Asec Mimosas ni suala la muda Msimbazi

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Winga hatari wa Asec Mimosas Kramo Aubin anatajwa kuwa tayari amemalizana na mabosi wa Simba


Baada ya kuinasa saini ya Essomba Onana ambaye anamudu kucheza nafasi zote za winga, ujio wa Kramo unakwenda kuimarisha zaidi eneo hilo


Kibu Denis na Pape Ousmane Sakho watakuwa amepata washindani sahihi katika nafasi zao


Winga huyo anatumia miguu yote kwa ufasaha hivyo kumfanya kuwa mchezaji ambaye Simba inaweza kumtumia katika nafasi zote za winga na hata kiungo mshambuliaji


Ukizungumzia wachezaji waliong'ara katika kikosi cha Asec kilichocheza nusu fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika msimu uliopita, Kramo ni miongoni mwao


Simba haikuanza kumfuatilia Kramo msimu huu, hata msimu uliopita alikuwa kwenye orosha ya nyota waliokuwa wakiwaniwa lakini mpango wa kumnasa haukufanikiwa 


Katika dirisha hili la usajili, Simba imefanya maboresho katika kila eneo kuanzia mlinda lango, safu ya ulinzi, kiungo na safu ya ushambuliaji



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz