VIDEO: Tshabalala afunguka madai ya kutumia ushirikina - EDUSPORTSTZ

Latest

VIDEO: Tshabalala afunguka madai ya kutumia ushirikina

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Beki wa kushoto wa Simba SC, Mohamed Hussein 'Tshabalala' amefungukia madai ya kuwa anatumia ushirikina ili kuweza kucheza kwa muda mrefu na kusema hizo ni fikra potofu kwa baadhi ya watu.


Tshabalala ameyasema hayo kupitia mahojiano aliyoyafanya na Azam TV ambapo amesema, watu wanaopenda kuchukulia mafanikio ya wenzao kwa mtazamo hasi ni wazito wa kufikiri.


“Watu waache kufikiria watu kwenye dhana potofu, wakiona tu unacheza wanadhani mambo yanatokea tu kirahisi. Hawajui kuna miiko ya mpira, kuna vitu mtu unajizuia ili uweze kujitunza, usiwe na injury za mara kwa mara na mambo mengine," alisema Tshabalala.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz