Taarifa mpya kuhusu Aish Manula hii hapa - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa mpya kuhusu Aish Manula hii hapa

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Wakati Simba SC wakiwa wanahusishwa kumsajili kipa Simon Omossola kutoka nchini Cameroon, kipa namba moja wa timu hiyo Aishi Manula ameanza mazoezi mepesi.


Manula mwenye majeraha yuko nje kwa muda wa miezi minne sasa ameanza mazoezi mepesi tangu alivyoumia katika pambano la Simba SC dhidi ya Ihefu.


Katika ukurasa rasmi wa Manula ameweka video yake akifanya mazoezi huku akiwa amevaa jezi ya timu ya taifa ya Cameroon.


Manula ameweka picha yuko Gym huku akiandika ujumbe unaosomeka “Safari ya kurejea kiwanjani imeanza“ amesema Manula.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz