Simba yamsajili Abdallah Hamisi - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba yamsajili Abdallah Hamisi

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Klabu ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo wa kati, Abdallah Hamisi Riziki (25) raia wa Tanzania kwa kandarasi ya miaka miwili akiwa Mchezaji huru.


Abdallah amewahi pia kuhudumu katika Vilabu vya Muhoroni FC, SoNy Sugar, Bandari FC zote za Kenya na Opara United ya Botswana.


Abdallah ndiye anatajwa kuwa mrithi wa Jonas Mkude aliyetimkia Yanga baada ya kumaliza mkataba wake na Simba aliyoitumikia kwa miaka 13.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz