Sadio Mane ampa makavu mwandishi, amchomolea waya (+Video) - EDUSPORTSTZ

Latest

Sadio Mane ampa makavu mwandishi, amchomolea waya (+Video)

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA


 Mshambuliaji wa Bayern Munich Sadio Mane amemkatalia mwandihi wa Habari kufanya nae mahojiano akiwalalamikia kitendo cha kuandikwa vibaya.


Katika moja ya video anasikika mwandishi akimuuliza Sadio Mane;


Mwandishi: Sadio, naweza kukuuliza maswali machache?


Mane: Mnaniua (mnanisema) kila siku na sasa mnataka niongee na nyie?


Baada ya majibu hayo Sadio Mane aliondoka pasipo kufanya mahojiano na Mwandishi huyo.


Sadio Mane ameambiwa atafute Timu kwa kuwa Bayern kwa sasa hawana mipango nae na kitendo hicho kimewafanya Wanahabari kila kukicha kumshambulia Mane wakidai anapokea mshahara mkubwa lakini hana umuhimu katika klabu.


Tazama Video hapa chini kisha utuambie je Sadio Mane alikuwa sahihi?



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz