Rasmi: Simba yamnasa beki kisiki Cotton Sport - EDUSPORTSTZ

Latest

Rasmi: Simba yamnasa beki kisiki Cotton Sport

Pata 50,000 BURE Kila Siku Bonyeza HAPA


Ajira Mpya zilizotangazwa leo Bonyeza HAPA


Msimamo wa ligi kuu Tanzania Bonyaza HAPA

 Taarifa za uhakika ni kuwa klabu ya Simba imekamilisha usajili wa mlinzi wa kati Che Fondoh Malone kutoka klabu ya Cotton Sport


Simba imekuwa kwenye majadiliano ya takribani wiki nzima na Cotton Sport juu ya uhamisho wa beki huyo mahiri ambaye alikuwa sehemu ya kikosi cha Cameroon kilichoshiriki michuano ya CHAN inayohusisha wachezaji wa ndani


Malone alicheza mechi zote za Cotton Sport katika ligi ya mabingwa msimu uliopita, timu hiyo ikiwa kundi moja na Mamelodi Sundown, Al Ahly na Al Hilal


Huu ni usajili wa gharama kubwa ambao kwa hakika unaakisi malengo ya klabu ya Simba msimu ujao


Wanamsimbazi wanasubiri kwa hamu utambulisho wake ambao hakuna shaka utatokea!



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz